#CgOnlneTv #WaziriKigwangala
Waziri wa Maliasili na Utalii na aliyekujwa Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini Hamisi Kigwangala amekuwa miongoni mwa Watia nia wa kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi CCM ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM katika Jimbo la Nzega Vijijini.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for WAZIRI KIGWANGALA-Ndio kwanza kumekucha nimetimiza Miaka 45 kijana mdogo ,ARUDI JIMBONI,AVUTA FOMU: