Duration 9:27

HII HAPA TAARIFA MPYA KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE 2020

421 watched
0
2
Published 29 Mar 2021

serikali imetangaza utaratibu wa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2020 kubadilisha tahasusi (combination) za kidato cha tano na kozi za vyuo vya elimu ya ufundi kwa njia ya mtandao kwenye mfumo wa kieletroniki kwa uchaguzi wa kidato cha na vyuo mwaka 2021 kauli hiyo ya serikali imetolewa na waziri wa nchi ofisi ya rais-TAMISEMI seleman jafo jijini dodoma

Category

Show more

Comments - 0