Mtoto wa miaka 5 Nice Niko Sawaye kutoka Arusha aliweza kuhubiri katika ibada ya Jumapili katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B". Mtoto amejaliwa kuwa na kipawa cha kujua mahesabu makubwa ya sekondari, kuongea Kiingereza fasaha bila kufundishwa, ualimu, mwanasiasa (anawajua viongozi mbalimbali wa serikali), uimbaji, mwinjilisti mkubwa (anajua Biblia kutoka Mwanzo hadi Ufunuo) anapenda watu. Msikilize. Pia tembelea www.mountainoffiretanzania.blogspot.com